Said Hamisi Ndemla amejiunga na JKT Tanzania akitokea Singida Fountain gates [Zamani Singida Big Stars].

Ndemla ameungana na Hassan Dilunga ambaye waliwahi kuitumikia Simba kwa pamoja.

Nyota hao tayari wameanza maandalizi ya msimu mpya na kikosi cha JKT Tanzania

You Might Also Like

Get Newsletter

Advertisement