Dodoma jiji fc imethibitisha kuwaongezea mkataba mpya wachezaji wake wanne kipa Aron Kalambo , mabeki Abubakari Ngalema na Agustino Nsata ,  pamoja na mshambuliaji Collins Opare

Wachezaji hao wote walikuwa wachezaji wa kikosi cha kwanza cha Dodoma Jiji fc .

#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)

#Tv3Tanzania #GameOn

You Might Also Like

Get Newsletter

Advertisement