Aymeric Laporte amekubali kuondoka katika klabu ya Manchester City na kwenda kujiunga na klabu ya Al Nassr ya Saudi Arabia. 

Klabu ya Manchester City itapokea kiasi cha €30M kama gharama ya uhamisho ya mchezaji huyo ya kujiunga na klabu ya Al Nassr.


You Might Also Like

Get Newsletter

Advertisement