UNAWEZA kusema kwamba Klabu ya Yanga ni Baba lao kwenye michuano hii ya Shirikisho, ambapo imechukua ubingwa mara 7, ikufuatiwa na Simba mara 4.

Je miaka yote hiyo wengine walikuwa wapi ?

Kuanzia mwaka 2003 michuano ya FA haikuwa ikichezwa, hadi pale Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania TFF, walipopata udhamini na wa Azam Media na ndipo mwaka 2015 ilipoanza kuchezwa tena, huku Yanga wakiendeleza ubabe wao tangu waanze kulichukua mwaka 1967 lilikuwa linaitwa kombe la FAT ambapo Yanga iliifunga Liverpool ya ILALA Mabao 2-0

Yanga ilitwaa taji la Kwanza la ASFC, kwa ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Azam FC, kabla ya Simba kufanya makubwa kwa kuifunga Mbao FC kwa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma.

MIKOA ILIYOWAHIKUCHEZWA FAINALI YA FA

2015-16- Benjamin Mkapa, Dar Es Salaam.

2016-17-Jamhuri, Dodoma

2017-18- Sheikh Amri Abeid, Ausha

2018-19-Ilulu Lindi.

2019-20-Nelson Mandela, Rukwa

2020-21- Lake Tanganyika, Kigoma

2021-22-Sheikh Amri Abeid- Arusha

2022-23-Mkwakwani Tanga

2023-24- New Aman, Zanzibar


MABINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO TANGU LIANZISHWE FAT HADI LEO FA.

๐Ÿ‘‰Yanga SC kachukua mara 8 kuanzia mwaka,

๐Ÿ†1967 

๐Ÿ†1974

๐Ÿ†1999

๐Ÿ†2001

๐Ÿ†2015/16

๐Ÿ†2021/22

๐Ÿ†2022/23

๐Ÿ†2023/2024


๐Ÿ‘‰Simba kachukua ubingwa wa FA mara 4 katika historia

๐Ÿ†1995,

๐Ÿ†2016/17

๐Ÿ†2019/20

๐Ÿ†2020/21


๐Ÿ‘‰Azam FC wao wamechukua ubingwa huo mara moja tu mwaka 2018/18.

๐Ÿ‘‰Timu zingine zilizowahi kuchukua ubingwa wa FA,

๐Ÿ†Majimaji 1985

๐Ÿ†Sigara FC, 1996

๐Ÿ†Tanzania Stars 1997, 1998

๐Ÿ†Mtibwa Sugar 2000

๐Ÿ†JKT Ruvu 2002/2003

๐ŸคฃHaikuchezwa, 2017/18

RASMI: YOUNG AFRICANS NI MABINGWA MARA 8 WA KOMBE LA FA TANGU LIKIITWA KOMBE FAT.

You Might Also Like

Get Newsletter

Advertisement