REKODI YA MAKOCHA WENYE MAKOMBE MENGI LIGI KUU ENGLAND
Baada ya kuiongoza Manchester City kushinda ubingwa wa Ligi Kuu England kwa mara ya nne mfululizo, Pep Guardiola ameshinda jumla ya mataji 17 tangu atue klabuni hapo.
Man City inakuwa timu ya kwanza katika historia ya Ligi kuu England kutwaa ubingwa mara nne mfululizo rekodi ambayo hata kocha wa zamani wa Manchester United, mkali Sir Alex Ferguson hakuwahi kufikia.
Kwa ujumla Pep Guardiola ameshinda Mataji 12 ya Ligi kwenye Ligi tano bora Ulaya wakati Sir Alex Ferguson akiwa na mataji 13 ya Ligi. Pep anahitaji kushinda ubingwa wa Ligi mara moja zaidi kufikia rekodi.
REKODI YA MAKOCHA WENYE MAKOMBE MENGI LIGI KUU ENGLAND
๐ด๓ ง๓ ข๓ ณ๓ ฃ๓ ด๓ ฟ 13 - Alex Ferguson
๐ช๐ธ 6 - Pep Guardiola
๐ด๓ ง๓ ข๓ ณ๓ ฃ๓ ด๓ ฟ 6 - George Ramsay
๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 6 - Bob Paisley
๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 5 - Tom Watson
๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ 5 - Herbert Chapman
๐ด๓ ง๓ ข๓ ณ๓ ฃ๓ ด๓ ฟ 5 - Matt Busby



