▶ 2016: Ousmane Dembele akiwa na umri wa miaka 19 alijiunga na klabu ya Borussia Dortmund kwa gharama ya €35M. 

▶ 2021: Eduardo Camavinga akiwa na umri wa miaka 18 alijiunga na klabu ya Real Madrid kwa gharama ya €31M. 

▶ 2022: Mathys Tel akiwa na umri wa miaka 17 alijiunga na klabu ya Bayern Munich kwa gharama ya €20M. 

▶ 2023: Lesley Ugochukwu akuwa na umri wa miaka 19 amejiunga na klabu ya  Chelsea kwa gharama ya  €27M. 

▶ 2023: Jérémy Doku akiwa na umri wa miaka 21 amejiunga na klabu ya  Manchester City kwa €60M. 

Klabu kubwa barani Ulaya zinazidi kukusanya wachezaji wenye vipaji vikubwa kutoka katika klabu ya Stade Rennais.

You Might Also Like

Get Newsletter

Advertisement