Sasa huyu  ndio Ronaldo mtu mashughuri Duniani ambae wala hauhitaji kujiuliza mara mbili kwamba yeye ni mtu mashughuri kwani vitu vyake tu vinaonyesha hivyo.


Private Jet yake binafsi iligharimu $70 milioni hapo achilia mbali Bugatti yake na McLaren ambazo watu wengi hawatawahi kuziona ana kwa ana.



Hata saa yake imetengenezwa ili kuendana na gari lake na inagharimu $1 milioni.


Fahamu mengi ya husuyo michezo #Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha #startimestz CH 131 (antena) na CH 197 (Dish)


#Tv3Tanzania #GameOn

You Might Also Like

Get Newsletter

Advertisement