Mchezaji wa Klabu ya Real Madrid Jude Bellingham Ametwaa tuzo ya Kopa Trophy 2023 Mchezaji bora Duniani chini ya umri wa miaka 21
Tuzo Hii amepatiwa kwenye Usiku wa Tuzo ya Ballon D’Or
kundi hilo C mchezo uliofanyika leo alfajiri kati ya USA na Uruguay ambapo tumeshuhudia Uruguay ameshinda goli 1
Machozi ya Ronaldo yaligeuka kuwa kicheko baada ya kupachika mkwaju wa penalti sambamba na mabao ya Bruno Fernandes na Bernardo Silva yaliyoisogeza Ureno hatua inayofuata
Subscribe to our newsletter to get latest news, popular news and exclusive updates.