Erling Haaland ametwaa tuzo ya Gerd Muller Trophy 2023 baada ya kufunga magoli mengi kuliko mchezaji yoyote yule mwingine kwa kufikisha jumla ya magoli 56 kutoka Klabu na Timu yake ya Taifa
Machozi ya Ronaldo yaligeuka kuwa kicheko baada ya kupachika mkwaju wa penalti sambamba na mabao ya Bruno Fernandes na Bernardo Silva yaliyoisogeza Ureno hatua inayofuata