Huu ndio Muonekano Rasmi wa Jezi mpya ambazo wekundu wa Msimbazi SIMBA Wamezindua leo hii

Jezi Hizi ni Maalum kwa ajili ya michuano ya African Football League na zitaanza rasmi kutumika kwenye mchezo wa kwanza dhidi ya Al Ahly



Unatoa Maksi Ngapi kwa Jezi Hizi ?

You Might Also Like

Get Newsletter

Advertisement