Wanasoka wa Afrika wanazidi kupamba ligi kuu ya soka nchini Ujerumani, Bundesliga baada ya kuchezea ligi hiyo kwa miongo kadhaa tangu Ibrahim Sunday wa Ghana alipo weka historia kwa kuwa mwafrika wa kwanza kucheza katika ligi hiyo, akiiwakilisha Werder Bremen mnamo Juni 1976.

Bara la Afrika linazidi kuwasilisha wachezaji mahiri uwanjani huku majina maarufu katika historia ya soka la Afrika yakizidi kuhamia ligi hiyo na kuonyesha vipaji vyao katika Bundesliga.


Silas katompa mvumpa - Taifa - DRC - Club VfB Stuttgart

Edmond Tapsoba - Taifa - BurkinaFaso - Bayer Leverkusen

Sebastien Haller - Taifa - Cote D'ivoire - Borussia Dortmund

Nathan Tella - Taifa - Nigeria - Bayer Leverkusen

Bouna Junior Sarr - Taifa - Senegal - Fc Bayern Munich

Amine Adli - Taifa - Morocco - Bayer Leverkusen

Amadou Haidara - Taifa - Mali - RB Leipzig

Victor Okoh Boniface - Taifa - Nigeria - Bayer Leverkusen

Eric Choupo Moting - Taifa - Cameroon - Fc Bayern Munich











You Might Also Like

Get Newsletter

Advertisement