MAZOEZI YA SIMBA WAKIISUBIRI AL AHLY KESHO KWA MKAPA
Haya ni Mazoezi ya Klabu ya Simba wakijiweka tayari kuisubiri klabu ya Al Ahly kesho kwenye mchezo wa Ufunguzi wa Michuano Mipya ya African Footbal League
Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amethibitisha kwamba wamiliki wa klabu, Fenway Sports Group (FSG), wamelipa familia ya Diogo Jota kiasi kamili cha mkataba wake baada ya kifo cha mchezaji huyo mwanzoni mwa Julai.