Makamu wa Kwanza wa Rais TFF, Athuman Nyamlani amempokea Rais wa FIFA Gianni Infantino ambaye atakuwepo kwenye mchezo wa ufunguzi wa African Football League Simba SC vs Al Ahly ya Misri utakaochezwa leo uwanja wa Benjamin Mkapa.
Kikao hicho kimehudhuriwa pia Naibu Katibu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Suleiman Serera, Wakurugenzi wa Idara na Vitengo vya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo