Makamu wa Kwanza wa Rais TFF, Athuman Nyamlani amempokea Rais wa FIFA Gianni Infantino ambaye atakuwepo kwenye mchezo wa ufunguzi wa African Football League Simba SC vs Al Ahly ya Misri utakaochezwa leo uwanja wa Benjamin Mkapa. 



You Might Also Like

Get Newsletter

Advertisement