Mafanikio Ya Arsenal Yanatoka Ubavuni Kwa Manchester City
Mafanikio ya Arsenal yanatokea katika ubavu wa Pep Guadiola kwa sababu Mikel Arteta alikua chini ya Guadiola.
Hii ndiyo sababu kubwa ya Arteta wachezaji wngi anaowachukua ni kutoka Manchester City.