Kikosi cha Xabi Alonso kilishinda taji la Bundesliga kwa njia ya kuvutia, pointi 17 mbele ya Stuttgart katika nafasi ya pili, na sasa ni mechi 51 bila kushindwa katika mashindano yoyote msimu huu.

Wako kwenye kilele cha historia, huku fainali hii ya Uropa mjini Dublin na kisha fainali ya Kombe la Ujerumani dhidi ya timu ya daraja la pili FCK siku tatu baadaye kukiwa na vikwazo vya mwisho vya kushinda mataji yote matatu bila kushindwa hata moja.

Nayo Atalanta, walitinga fainali yao ya kwanza kabisa ya Uropa kwa kuifunga Marseille katika nusu fainali, baada ya kuwatoa Liverpool mapema katika hatua ya mtoano.

timu yake ya Serie A haijashinda kombe lolote tangu 1963 na tayari wamepata nafasi ya kumaliza kusubiri kwa muda mrefu msimu huu, baada ya kuchapwa na Juventus kwenye fainali ya Coppa Italia wiki iliyopita.

You Might Also Like

Get Newsletter

Advertisement