KLABU YA SIMBA SC YAVUNJA MKATABA NA KOCHA MKUU ABDELHAK BENCHIKHA
Simba SC imefikia makubaliano ya pande mbili ya kuvunja mkataba na kocha mkuu, Abdelhak Benchikha pamoja na wasaidizi wake wawili, Kamal Boujnane na Farid Zemit.
Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amethibitisha kwamba wamiliki wa klabu, Fenway Sports Group (FSG), wamelipa familia ya Diogo Jota kiasi kamili cha mkataba wake baada ya kifo cha mchezaji huyo mwanzoni mwa Julai.