KLABU YA SIMBA SC YAVUNJA MKATABA NA KOCHA MKUU ABDELHAK BENCHIKHA
Simba SC imefikia makubaliano ya pande mbili ya kuvunja mkataba na kocha mkuu, Abdelhak Benchikha pamoja na wasaidizi wake wawili, Kamal Boujnane na Farid Zemit.
Mchezo huo umeifanya Simba kuchukua alama nne kwa Azam FC katika msimu huu wa 2023/2024 baada ya kutoka sare ya bao 1-1 kwenye mzunguko wa kwanza wa ligi