Klabu ya Al Ahly, Mamelodi Sundowns pamoja na Wydad AC zimefanikiwa kufuau hatua ya makundi ya klabu bingwa barani Afrika kwa mara ya 9 mfululizo.
▪️2016
▪️2017
▪️2018
▪️2018/19
▪️2019/20
▪️2020/21
▪️2021/22
▪️2022/23
▪️2023/24
Trump anapendekeza Kombe la Dunia la FIFA linaweza kuhamishwa kutoka miji isiyo salama
Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amethibitisha kwamba wamiliki wa klabu, Fenway Sports Group (FSG), wamelipa familia ya Diogo Jota kiasi kamili cha mkataba wake baada ya kifo cha mchezaji huyo mwanzoni mwa Julai.
Subscribe to our newsletter to get latest news, popular news and exclusive updates.