KAULI YA AHMED ALLY NA KOCHA ROBERTIHNO BAADA YA USHINDI
Baada ya Ushindi wa Goli 3-1 dhidi ya Prisons Afisa Habari wa Klabu ya Simba na Kocha Mkuu Robertinho wamezungumza kuhusu Ushindi huo ndani ya Uwanja wa SOKOINE
Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amethibitisha kwamba wamiliki wa klabu, Fenway Sports Group (FSG), wamelipa familia ya Diogo Jota kiasi kamili cha mkataba wake baada ya kifo cha mchezaji huyo mwanzoni mwa Julai.