Hizi ndio Kauli za mashabiki wa klabu ya Yanga baada ya kupata matokeo mabaya mbele ya Ihefu leo 

Mashabiki wa Yanga wamemlalamikia Kocha kwa kikosi alichokipanga na kuomba hata kama wachezaji walichoka asingewabadilisha kwa namna ile

Wapo mashabiki wengine waliodai kuwa kuloga kumehusika na Yanga walikosea tangu mwanzo kufanya mapokezi mabaya wakati wenyeji wanalijua vizuri eneo la Mbarali

You Might Also Like

Get Newsletter

Advertisement