Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia akiongoza ugeni kutoka FIFA na CAF waliotembelea Kituo cha Ufundi cha TFF cha Kigamboni, Dar es Salaam
Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amethibitisha kwamba wamiliki wa klabu, Fenway Sports Group (FSG), wamelipa familia ya Diogo Jota kiasi kamili cha mkataba wake baada ya kifo cha mchezaji huyo mwanzoni mwa Julai.