Ilikuwa ndoto ya kila Mtanzania mpenda michezo na sasa ndoto hiyo imetimia na tumefuzu AFCON.

Sasa ni ule muda wakujua Taifa Stars atakwenda kupambana na mataifa gani hatua ya makundi !

Utashuhudia tukio hili la kihistoria mubashara kabisa kupitia Youtube Channel yetu #Tv3Tanzania leo hii kuanzia saa 4:00 usiku.

You Might Also Like

Get Newsletter

Advertisement