Cliford Mario Ndimbo Kuweka Historia Mchezo wa Simba SC vs Al Ahly
Ofisa habari na Mawasiliano TFF, cliford mario ndimbo ameteuliwa na CAF kuwa Ofisa Habari wa mchezo wa ufunguzi wa African Football League (AFC) Simba vs Al Ahly utakaochezwa Oktoba 20, 2023.
Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amethibitisha kwamba wamiliki wa klabu, Fenway Sports Group (FSG), wamelipa familia ya Diogo Jota kiasi kamili cha mkataba wake baada ya kifo cha mchezaji huyo mwanzoni mwa Julai.