Cliford Mario Ndimbo Kuweka Historia Mchezo wa Simba SC vs Al Ahly
Ofisa habari na Mawasiliano TFF, cliford mario ndimbo ameteuliwa na CAF kuwa Ofisa Habari wa mchezo wa ufunguzi wa African Football League (AFC) Simba vs Al Ahly utakaochezwa Oktoba 20, 2023.
Tangu kumalizika kwa michuano ya Euro ambapo kapteni huyu wa Ufaransa na timu yake waliishia nusu fainali, Mbappe hajacheza mechi yoyote ya kimashindano.