Fati aliyesajiliwa kwa mkopo msimu huu akitokea Barcelona ameingia kwenye historia ya klabu ya Brighton ya Uingereza.

Ansu Fati pamoja na Joao Pedro wamefunga magoli kwenye mchezo kati ya Brighton & Hove Albion dhidi ya Ajax.

Huu ni ushindi wa kwanza kwa klabu ya Brighton & tove Albion kuupata kwenye mashindano ya Ulaya.

You Might Also Like

Get Newsletter

Advertisement